Breaking: Mvua zasababisha barabara kufungwa Dar


Kutokana na mvua zinazoendelea katika jiji la Dar es Salaam  zimesababisha adha ya usafiri kwa abiria baada ya kufungwa kwa barabara katika eneo la jangwani.

Endelea kuwa na Muungwana Blog tutaendelea kukupa taarifa hizi
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items