Kuelekea uchaguzi mkuu unao tarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu,mkuu wa mkoa wa Morogoro LOATA OLE SANARE amewaonya wanasiasa watakao jaribu kutumia mwanya huo kuhatarisha usalama wa wananchi badala yake wafanye siasa kwa kuzingatia sheria za nchi.
SANARE ametoa wito huo katika kikao chake na viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa wilaya ,wabunge na wakurugenzi wa halmashauri chenye lengo la kujadili masuala ya maendeleo na changamoto zinazoukabili mkoa huo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE