Watu 6 miongoni mwa watu 28 walioripotiwa kupimwa na kukutwa na virusi vya Corona nchini Iran wamefariki.
Mamlaka nchini Iran imefahamisha kuwa watu 6 miongoni mwa watu 28 waliopimwa na kukutwa na virusi vya corona wamefariki.
Vipimo alivyofanyiwa muathirika wa mwisho vilionesha kuwa licha ya kuwa alikuwa na virusi vya corona alikuwa okisumbuliwa na maradhi ya moyo.
Maafa hayo yametokea katika mji wa Arak.
Kwa upande wake, wizara ya afya nchini China imefahamisha kuwa idadi ya maafa kutokana na virusi vya corona imepungua kwa kiasi kikubwa.
Hadi kufikia Jumamosi Februari 22 watu ambao wamekwishafariki kutokana na virusi hivyo vya corona imefikia watu 2345.
Mamlaka nchini Iran imefahamisha kuwa watu 6 miongoni mwa watu 28 waliopimwa na kukutwa na virusi vya corona wamefariki.
Vipimo alivyofanyiwa muathirika wa mwisho vilionesha kuwa licha ya kuwa alikuwa na virusi vya corona alikuwa okisumbuliwa na maradhi ya moyo.
Maafa hayo yametokea katika mji wa Arak.
Kwa upande wake, wizara ya afya nchini China imefahamisha kuwa idadi ya maafa kutokana na virusi vya corona imepungua kwa kiasi kikubwa.
Hadi kufikia Jumamosi Februari 22 watu ambao wamekwishafariki kutokana na virusi hivyo vya corona imefikia watu 2345.
