Recep Tayyıp Erdoğan ajielekeza nchini Azerbaijani kushiriki katika mkutano wa kimkakati wa baraza la ushirikiano mjini Baku.
Mkutano huo ni mkutano wa 8 kufanyika.
Katika mkutano huo kutazungumziwa kuhusu ushirikiano kati ya Uturuki na Azerbaijani kwa kina ili kufikia katika malengo yalioweka katika ushirikiano.
Hali iliopo katika ukanda itajadiliwa ikiwemo pia hali inayoendelea Idlib nchini Syria.