Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni amelitaka Jeshi la Magereza kuhakikisha linamaliza Ujenzi wa Kiwanda cha Bidhaa za Ngozi cha Karanga kilichopo Mkoani Kilimanjaro ifikapo tarehe 1 Machi mwaka huu.
Ametoa maelekezo hayo alipotembelea Ujenzi huo unaojengwa kwa ubia kati ya Jeshi la Magereza na Mfuko wa Pensheni wa PSSF huku ikitajwa gharama nzima ya ujenzi huo kuwa ni 75,352,350,600
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE
