Jeshi la polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu wawili akiwamo mwalimu na afisa Kilimo wakisafirisha wahamiaji haramu 3 kutoka nchini Kenya ambao wenye asili ya Somalia wakisafiri kutoka Kilimanjaro kwenda Songwe kupitia Mkoa wa Dodoma.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE