Mwenyekiti wa ccm Athuman Gora amempokea Francis Mafita Aliyekuwa Katibu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kuhamia katika chama cha ccm rasmi.
Mwenyekiti wa chama icho amesema kuwa uamuzi huo wa Francis Mafita ni matokeo mazuri ya chama kwa mwaka huu wa uchaguzi.
Aliyekuwa Katibu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kondoa amejiudhuru cheo icho na kuhamia rasmi katika chama cha Mapinduzi (ccm)
Mwenyekiti wa chama icho amesema kuwa uamuzi huo wa Francis Mafita ni matokeo mazuri ya chama kwa mwaka huu wa uchaguzi.
Aliyekuwa Katibu wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kondoa amejiudhuru cheo icho na kuhamia rasmi katika chama cha Mapinduzi (ccm)


