Nyumbani Breaking News: Mchungaji mama Gertrude Rwakatare afariki dunia byMuungwana Blog 5 -4/20/2020 09:20:00 AM 0 Mchungaji wa Kanisa la Mlima wa Moto, Askofu Gertrude Rwakatare amefariki dunia alfajiri ya leo ya Aprili 20, 2020. Mtoto wake Muta Rwakatare amethibitisha. Taarifa zaidi tutawaletea kadri tutakavyoendelea kupata taarifa. Facebook Twitter