Rais wa Uturuki azungumza na raia Donald Trump kuhusu ushirikiano katika kupambana na covid - 19.
Recep Tayyıp Erdoğan , rais wa Uturuki azungumza kwa njia ya simu na rais wa Marekani kuhusu ushirikiano wa kiuchumi katika kupambana dhidi ya virusi vya corona.
Mkurugenzi katika kitengo kinachhusika na upashaji habari ikulu ya rais mjini Ankara amesema kwamba viongozi hao wamejadili kuhusu ushirikiano katika mapambano dhidi ya virusi vya corona na kuonesha zaidi mshikamano miongoni mwa wanachama wa Muungano wa kujihami NATO.
Ushirikiano kuhusu hali inayoendelea katika ukanda umejadiliwa kati ya marais hao wawili.
