Nyumbani Visa vya corona vyafikia 336 Kenya byMuungwana Blog 5 -4/25/2020 10:00:00 AM 0 Wizara ya Afya Kenya imesema sampuli 946 zimepimwa ndani ya saa 24 zilizopita kutoka kwa Watu wa Nchi 12 tofauti na kati ya hizo Watu 16 wamekutwa na corona, hii inafanya visa vya corona Kenya kufikia 336 kutoka 320. Facebook Twitter