Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ametangaza kwamba nyumba za Ibada zinapaswa kufunguliwa kuanzia June mwaka huu, wakati Nchi hiyo ikiendelea kulegeza masharti y lockdown, Ramaphosa amesema kwa hatua za awali mikusanyiko kwenye nyumba za Ibada isizidi Watu 50. "Imani na maombi ya Watu yamesaidia kwenye mapambano haya dhidi ya corona"
