Watu watatu wamefariki katika maporomoko ya ardhi Afghanistan

Watu watatu wamefariki katika maporomoko ya ardhi yaliotokea nchini Afghanistan.

Watu watatu wamefariki katika maporomoko ya ardhi Afghanistan.

Watu watatu wamefariki katika maporomoko ya ardhi yaliotokea Gazne nchini Afghanistani.

Msemaji wa  gavana wa jimbo hilo nchini Afghanistani Vahidullah Cumazadeh amewaambia wanahabari kuwa  watu watatu wa familia moja wamefariki katika maporomoko ya ardhi yaliotokea  katika  eneo hilo.

Msemaji huyo wa gavana wa jimbo hilo ameendelea kufahamisha kuwa  majumba kadhaa  yameporomoka kutoka kutokana  na kusababisha  hasara.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia