Waziri wa elimu, sayansi na teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, leo Mei 28, ametoa onyo kwa walimu kutotumia ugonjwa wa Corona kama kitega uchumi, kwani hivi karibuni kumesambaa taarifa mitandaoni kuwa wanafunzi wanatajiwa kurudi vyuoni wakiwa na baadhi ya mahitaji ikiwemo Malimao na Tangawizi
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE