Maandamano kukemea mauaji ya George Floyd yafanyika mjini Londo nchini Uingereza.
Maandamano mjini London kwa ajili ya George Floyd.
Maandamano kukemea mauaji ya George Floyd yafanyika mjini Londo nchini Uingereza.
Maandamano ya kukemea mauaji ya mmarekan mweusi Minneapolisi nchini Marekani yamevuka mipaka na kufanyika katika miji ya mataifa ya bara la Ulaya.
Maandamano ya kukemea mauaji hayo na matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi Marekani .
George Floyd alizuiliwa na polisi na katika hali ya kurukushani na maafisa wa jeshi la Polisi alilazwa chini na kukandamizwa kwa goti shingoni hadi kufariki.
Baada ya maandamano kuripotiwa mjini Berlin nchini Ujerumani, maandamano yamefanyika mjini London nchini Uingereza kukemea mauaji ya mmarekani mweusi huyo.
Waandamanaji walikuwa na mabango yalibeba ujumbe unatoa wito wa kuheshimu haki na kukemea madhila dhidi ya wamarekani weusi.
Waandamanaji walielekea katika ubalozi wa Marekani Vauxhall wakiwa na mabango yao.
Waandamanaji 11 wamekamatwa katika maandamano hayo baada ya kuzuka kwa ghasia.
Maandamano mjini London kwa ajili ya George Floyd.
Maandamano kukemea mauaji ya George Floyd yafanyika mjini Londo nchini Uingereza.
Maandamano ya kukemea mauaji ya mmarekan mweusi Minneapolisi nchini Marekani yamevuka mipaka na kufanyika katika miji ya mataifa ya bara la Ulaya.
Maandamano ya kukemea mauaji hayo na matumizi ya nguvu ya jeshi la polisi Marekani .
George Floyd alizuiliwa na polisi na katika hali ya kurukushani na maafisa wa jeshi la Polisi alilazwa chini na kukandamizwa kwa goti shingoni hadi kufariki.
Baada ya maandamano kuripotiwa mjini Berlin nchini Ujerumani, maandamano yamefanyika mjini London nchini Uingereza kukemea mauaji ya mmarekani mweusi huyo.
Waandamanaji walikuwa na mabango yalibeba ujumbe unatoa wito wa kuheshimu haki na kukemea madhila dhidi ya wamarekani weusi.
Waandamanaji walielekea katika ubalozi wa Marekani Vauxhall wakiwa na mabango yao.
Waandamanaji 11 wamekamatwa katika maandamano hayo baada ya kuzuka kwa ghasia.
