Manchester United yamuongezea mkataba Odion Ighalo

Mshambuliaji wa Nigeria anayecheza Man United kwa mkopo akitokea Shanghai Greenland ya China Odion Ighalo ,30, ameongezwa mkataba wake wa mkopo Man United baada ya kuisha jana hadi January 31 2021.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia