TFF yaruhusu michezo ya kirafiki kuendelea, Uwanja wa Mo Simba Arena wapigwa stop

Shirikisho la Soka Tanzania  limeruhusu michezo ya kirafiki kuendelea  kwa masharti ya kuzingatia mwongozo uliowekwa kuhusu tahadhari dhidi ya corona virus

TFF pia imeuzuia uwanja wa Mo Simba Arena kutumika kwa mechi za kirafiki kwa kuwa uwanja huo ni kwa ajili ya mazoezi pekee.

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items