Walengwa wanufaika kwa matumizi sahihi ya Fedha za TASAF Katavi


Serikali mkoani Katavi imewataka walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa kupitia TASAF kutumia fursa hiyo kwa ukamilifu kwakufanya kazi kwa bidii ili kutimiza azma ya serikali ya kupambana na umaskini.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Zuberi Homera wakati akikagua na kujionea utekelezaji wa shughuli za mfuko huo wa Maendeleo ya Jamii-TASAF katika Halmashauri ya Nsimbo.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia