Wanamgambo wanne wa Jammu & Kashmir wameripotiwa kuuawa katika eneo ambalo linamilikiwa na India.
Wapiganaji wanaopiganiia uhuru Jammu & Kashmir wameuawa katika eneo ambalo linamilikiwa na India .
Eneo hilo ni eneo ambalo mara kwa mara hutokea mapigano kati ya wanamgambo wa India na Pakistan wanaotaka kujitenga na kuwa eneo huru.
Jeshi la India limeendesha operesheni katika eneo hilo Pinjora na Sophian hdidi ya wanamgambo hao.
Katika taarifa ya maandishi iliotolewa na kikosi cha usalama, watu 4 ambao wametajwa kuwa wapiganaji wa Hizbul Mujahideen .
Wanamgambo hao wameuawa baada ya kuwashambulia wanajeshi waliokuwa wakilinda doria.
Katika makabiliano na wanamgambo hao, askari watatu wamejeruhiwa.
Mapigano hayo yametokea masaa 24 yaliopita.
