JPM amuagiza IGP kuuondoa uongozi wa juu wa polisi meru


Rais John Magufuli amemuagiza Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro kuwaondoa na kuwapangia kazi nyingine OCD wa Wilaya ya Meru, ofisa usalama na OCCID kwa kushindwa kusimamia wajibu wao.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia