Leo Julai 7, Rais Magufuli amefanya uteuzi wa DC 1 na Ma-DED 5 akiwemo, Lauteri Kanoni kuwa DC wa Wanging'ombe. Aidha amemteua Bashir Mhoja kuwa Mkurugenzi Wilaya ya Iringa, Ramadhan Possi kuwa DED Chalinze pia amemteua Baraka Zikatimu kuwa DED Wilaya ya Urambo.