Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtera, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, Livingstone Lusinde amesema TAKUKURU wamechunguza na wamemkuta hana hatia dhidi ya Rushwa aliyokuwa anatuhumiwa nayo kama ilivyoripotiwa hivi karibuni na vyombo vya habari.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE