Viwanja Bei nafuu: Bunju na Mapinga


Viwanja Bei nafuu: Bunju na Mapinga

Kwa Mapinga; viwanja vipo (Mji mpya) karibu na Kimere resort, km 2 kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road).

Hapa vipo viwanja vya:

  • 15/15 bei million 3,
  • 20/20 bei million 6
  • 20/30 bei million 8
  • 20/40 bei million 11
  • Nusu eka bei million 26
  • Eka moja bei million 50

Huduma za umeme na maji zipo.

Kwa Bunju; vipo viwanja 4 na Kila kiwanja kina ukubwa wa 25/40 na bei ya kila kiwanja ni tsh 30 million.

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki.

Hakuna dalali, mpigie mhusika: 0757100236
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items