KIWANJA KINAUZWA DODOMA

   

Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA.

Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X 30 ).

Kiwanja ni kizuri sana watu wameshaanza kujenga na wengine washa hamia, Umeme na Maji vyote vipo. 

kutoka njiapanda ya Nkuhungu ni KM 3 mpaka kwenye kiwanja.. 

Bei Million 3,500,000

Piga simu 0719788949

MAJIRANI WAKO.




Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Ujuwe Ugonjwa wa Busha

Kilimo cha Bamia