Mchezaji wa Azam FC atua klabu ya Maccabi Tel-Aviv

 


Klabu ya soka ya Azam FC imefikia makubaliano ya kumuuza kiungo chipukizi, Novatus Dismas kwenda kwa klabu ya Maccabi Tel-Aviv.

Azam FC hawajatoa taarifa zaidi za muda wa mkataba wa Dismas na gharama za kumuuza mchezaji huyo.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia