Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Brig. John Mbungo amesema kwa kushirikiana na Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam wameweza kudhibiti shilingi bilioni kwenye mradi wa ujenzi wa kituo kipya cha mabasi Mbezi Luis.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE
