Wakamatwa kwa kutaka kuipindua serikali China

 


Polisi wamewakamata wanaharakati 47 kwa "kupanga kuipindua serikali " katika  Kanda Maalum ya Utawala ya Hong Kong.


Imetangazwa kuwa watu hao 47 watafikishwa mahakamani siku ya kesho, Imeelezwa kuwa wanaharakati hao, wenye umri kati ya miaka 23 na 64, walikamatwa mnamo Januari na kuachiliwa baadaye.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items