Rais Samia kuwaapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama Kuu leo


Rais Samia  ataawapisha Majaji wa Mahakama ya Rufani na Majaji wa Mahakama Kuu leo Jumatatu May 17,2021 kuanzia saa 9:00 Alasiri.

Viongozi hao wataapishwa katika Ukumbi wa Kikwete Ikulu Dar es salam

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items