Q Chief apigwa na kitu kizito kichwani

 


Msanii Aboubakary Katwila Q Chief ameweka wazi kwamba amepitia changamoto nyingi tangu ameingia kwenye ndoa jambo ambalo limemfanya kumkondesha mwili wake.


Q Chief ameongeza kusema jambo lingine lilomfanya kukonda ni changamoto binafsi za maisha yake mpaka kusababisha kukaa kimya kwa muda wa mwaka mmoja kwenye game.

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia