Watu wanne wafariki kwenye ajali ya treni Tabora

Shirika la Reli Tanzania -TRC limetoa taarifa ya ajali ya Treni ya Abiria namba Y14 yenye Injini namba 9019,iliyokuwa ikisafiri kutoka Kigoma kulekea Dar es salaam na kusababisha jumla ya vifo 4 na majeruhi 132 
 


Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items

Kilimo cha Bamia