Nyumbani Watu wanne wafariki kwenye ajali ya treni Tabora byMuungwana Blog 2 -6/22/2022 04:09:00 PM 0 Shirika la Reli Tanzania -TRC limetoa taarifa ya ajali ya Treni ya Abiria namba Y14 yenye Injini namba 9019,iliyokuwa ikisafiri kutoka Kigoma kulekea Dar es salaam na kusababisha jumla ya vifo 4 na majeruhi 132 Facebook Twitter