Picha: Dkt Yonazi aongoza kikao kujadili changamoto za TBL.


Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi ameongoza Kikao cha Makatibu Wakuu cha kujadili changamoto zinazokabili Kiwanda cha Kuzalisha Bidhaa za Kibaiolojia cha Tanzania Biotech Products Limited (TBPL - Viuadudu) kilichofanyika tarehe 31 Oktoba, 2024 katika Ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Jijini Dodoma.








Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items