CHEKI UZI MPYA WA STAND UNITED MSIMU UJAO WA VPL

 
Udhamini huleta raha katika uendeshaji wa klabu za ligi kuu soka Tanzania bara.
Siku chache baada ya kampuni ya madini ya ACACIA kuingia mkataba wa udhamini  na klabu ya ligi kuu kutoka Mkoani Shinyanga, Stand United, timu hiyo imeweka hadharani jezi mpya ya nyumbani na ugenini kwa ajili ya msimu ujao.

Jezi hizo zimepigwa nembo ya ACACIA kama zinavyoonekana.