Udhamini huleta raha katika uendeshaji wa klabu za ligi kuu
soka Tanzania
bara.
Siku chache baada ya kampuni ya madini ya ACACIA kuingia
mkataba wa udhamini na klabu ya ligi kuu
kutoka Mkoani Shinyanga, Stand United, timu hiyo imeweka hadharani jezi mpya ya
nyumbani na ugenini kwa ajili ya msimu ujao.
Jezi hizo zimepigwa nembo ya ACACIA kama zinavyoonekana.