HABARI ZA HIVI PUNDE: "HAKUNA SINTOFAHAMU YOYOTE KATI
YA YANGU MIMI Dr. Slaa, Mbowe, Mnyika, Tundulisu na wengineo kwa ujio wa mgeni
Mhe. Lowassa wala hakuna chochote kilichoharibika ndani ya CHADEMA, NCCR, NLD,
CUF wala kwa wanachama, wafuasi na wapenzi wa UKAWA.
Myaonayo na myasikiayo kwenye mitandao ya kijamii ni kauli
za wafa maji. Tulichokifanya UKAWA ni kuunganisha dhamira zetu pamoja. Narudia
tena; tulichokifanya kama UKAWA ni kuunganisha
dhamira zetu pamoja.
Zaidi sana
napenda kusisitiza jambo hili kwa umma kwamba NDANI YA VYAMA VINAVYOUNDA UKAWA
HAKUNA MWENYE DHAMANA WALA MAMLAKA YA JUU ZAIDI YA MWINGINE HATA KWA KWA YULE
MSHABIKI"
By. Dr. Wilbroad Slaa (katibu mkuu wa chama cha demokrasia
na maendeleo-CHADEMA)
Chanzo: Radio One