Mzazi mwenzie na Joseph Mbilinyi ‘Mr. Sugu’, Faiza Ally
akiwa katika viunga vya Mahakama ya Mwanzo ya Sinza jijini Dar.
FAIZA Ally, ambaye ni mzazi mwenzie na mbunge wa Mbeya mjini
kwa ‘leseni’ ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi
‘Mr. Sugu’ anadaiwa kukata rufaa na kurudi mahakamani kudai upya haki yake juu
ya malezi ya mtoto wake.