Mwenyekiti wa Chadema (Kushoto) Mhe. Mbowe, na Mhe. Edward
Lowassa (katikati) wakati wa zoezi la kuchukua fomu lililofanyika makao makuu
ya Chadema
Mwanasheria mkuu wa Chadema Mhe. Tundu Lissu akiongea katika
ghafla fupi ya Mhe.Edward Lowassa akichukua fomu katika ofisi za Chadema makao
makuu jijini Dar e salaam