Ni majuzi tu Rais Kikwete ametunukiwa PhD ya sheria kutoka
UDSM. Leo tena atatunukiwa degree kama hiyo hiyo huko Australia.
Wadau hizi degree zimezidi sasa. nadhani atavunja rekodi ya
kutunukiwa hizi shahada za heshima nyingi pengine kuliko yeyote yule kwenye hii
dunia.