Leo Jagwani Katika Uzinduzi wa Kampeni za Ukawa Lowassa
Amewagusa Wengi baada ya Kuzungumzia Suala la Babu Seya ambaye yupo jela
amefungwa kifungo cha Maisha yeye na mtoto wake ..Lowassa Amesema kuwa amesikia
kilio cha wengi kutaka aachiwe huru hivyo atakapo ingia madarakani atalitazama
swala hilo .
Pia Lowassa Ameongelea kuhusu Mashehe wa Kiislam ambao wako
Mahabusu na wengine Jela nakusema kuwa atashughulikia endapo atapewa nafasi ya
kuwa Rais.