"MWAKA HUU
MTAISOMA NAMBA" Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassani akimwambia Mgombea Udiwani wa Chadema, Anna Oloiwa, aliyefika
kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza huyo, uliofanyika eneo la Madukani,
Longido mkoani Arusha leo.