Acha kabisa! Baadhi ya mastaa wa sinema na muziki Bongo,
wamejiachia na kujikuta wakikata mauno mbele ya Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete
aliyekuwa mgeni rasmi aliyeambatana na Waziri wa Katiba na Sheria, Dk.
Asha-Rose Migiro hali iliyozua minong’ono kwa waalikwa.
“Nakumbuka mwaka 1995
na mimi nilikatwa lakini sikukata tamaa hadi 2005,” alisema JK akiunga mkono
kampeni hiyo.
Baada ya uzinduzi huo, wasanii walimpa tuzo JK ambayo
iliambatana na picha ya mke wake, Mama Salma Kikwete iliyotokana na kuiongoza
vyema nchi hii na kumtakia mapumziko mema huku Migiro naye.