KAMPENI ZA MAGUFULI ZATUA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

 Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John pombe Magufuli leo akiwa katika Mkoa wa Dodoma ambao ni wa 18 kufanya kampeni zake, amefanya mikutano katika vijiji na majimbo mbalimbali.

miongoni mwa vijiji hivyo ni Mbande, Chunyu, Mpwapwa, Kongwa, Kibaigwa, Chalinze, Njia Panda ya Chamwino na kumalizia na mkutano ulihudhuliwa na maelfu ya wananchi katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma


 Msanii maarufu wa Bongo fleva, Ally Saleh Kiba 'King Kiba' akitoa burudani kwa wakazi wa Dodoma wakati wa mkutano huo.


 Msanii maarufu wa Bongo fleva, Khaleed Ramadhan Tunda 'Tunda Man' naye akifanya yake


 Magufuli akiomba ridhaa kwa Wanadodoma.


Chege na Temba wakikamua jukwaani.


Magufuli akiendelea kujinadi kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma jioni ya leo.