LOWASSA ASIMAMISHWA NJIANI NA WANANCHI WA DUMILA MORO..WATU WAMWITA RAIS

EDWARD .LOWASSA aliposimamishwa na wakazi wa Dumila mkoani Morogoro akielekea jijini Dar,na kuitwa jina la rais,rais,wananchi hao walikuwa na kiu ya kutaka kumwona na kumsikia juu ya hatma yake kisiasa!