Ngozi Kavu inahitaji uangalizi wa hali ya juu sana kwa sababu ngozi hii huwa inakabiliwa an mishari na wrinkles/mikunjo.Na hisi hutokea hasa kipindi cha baridi ambapo ngozi huwa inakua kavu na pia huwa too rough. Lakini kuna vitu unavyoweza kufanya ili kuweza kuitunza ngozi kwa kupunguza ukavu na wakati huo huo ulinzi dhidi ya kuzeeka mapema kwa ngozi.
3. Unatakiwa kupaka cream kwenye ngozi yako kabla ya kwenda kulala maana ni vyema kutumia cream ambazo zina Alpha Hydroxy Acids au AHA`s ambazo zinajulikana ambazo zinatokana na vyanzo kama vile maziwa, matunda na sukari. Hizi Alpha Hydroxy Acids zinakausha, zinaua na zinaondoa tabaka la ngozi ya nje wakati zina zinalainisha ngozi mpya inayotoka.
Faida yake ni kwamba ngozi yako inaonekana kuwa nzuri na ngavu pia ngozi yako kung`aa na kuwa na rangi nzuri. Kwa pamoja AHA na Vitamin C husaidi kupunguza mishati na ishara nyingine ya aging hivyo unaweza kupata matokeo mazuri na kwa haraka kwa kutumia vilainishi au cream ambavyo vina Vitamin C wakati wa mchana na cream ambazo zina AHA wakati wa usiku.Kwa kawaida tumia bidhaa ambazo zinakua zenye moisturiser na cream.
4. Kama ngozi yako ni kavu na inaelekea kuwa na mistari na inaonekana nyekundu na inakua inauma au ina vipele unatakiwa kumuona daktari wa ngozi. Hali hii pia inaweza kusababishwa na hali ya hewa au kusababishwa na vitambaa kama vile pamba, vitu tunavyopaka kwa ajili ya kutunza ngozi au sabuni na kadhalika.