Msanii wa zamani wa Drake, iLoveMakonnen, ajitangaza kuwa ni shoga

 iLoveMakonnen, msanii wa zamani wa label ya Drake, OVO na aliyewahi kuhit na wimbo, Tuesday, amejitangaza kuwa ni shoga.

Makonnen alitumia Twitter kuelezea ukweli huo, Ijumaa hii:
Rapper huyo alisceenshot tweets hizo na kuweka post Instagram akiandika: Thank you for letting me be myself.”


JIUNGE NASI KATIKA
INSTAGRAM @Muungwanablog

FACEBOOK @Muungwana Blog

YOUTUBE @Muungwana Tube

BOFYA HAPA KU-INSTALLAPP YA MUUNGWANA BLOG ILI UPATE URAHISI KUZISOMA HABARI ZOTE KWA WAKATI.
Mpya zaidi Nzee zaidi