Kaimu jaji mkuu wa tanzania mh profesa ibrahim juma amesema mahakama inafanya kila liwezekanalo kuhakisha kuwa muhimli huo unatekekleza majukumu yake kwa kufuata misingi na kanuni zote zilizopo kwani inatambua imani kubwa waliyonayo wananchi dhidi ya chombo hicho chenye jukumu la kutoa haki.
Kiongozi huo mkuu katikn chombo hicho ameyasema hayo jijini dar es salama wakati alipokuwa akizungumza na wajumbe wa barala la uongozo la chuo cha mahakama lushotto aliopkutna naoa katika ofisi za taasisi ya mafunzo ya sheria kwa vitendo.
Naye mwenyekiti wa baraza la uongozi la chuo hicho mh jaji mstaafu john mroso amesema wanatambua kuwa kuna changamoto kubwa ya masuala ya rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma na hivyo wanafanya kila liwezeakanalo kuhakisha kuwa kuna kukuwepo na kizazi ambacho kitakuwa na hofu ya rushwa.
Kiongozi huo mkuu katikn chombo hicho ameyasema hayo jijini dar es salama wakati alipokuwa akizungumza na wajumbe wa barala la uongozo la chuo cha mahakama lushotto aliopkutna naoa katika ofisi za taasisi ya mafunzo ya sheria kwa vitendo.
Naye mwenyekiti wa baraza la uongozi la chuo hicho mh jaji mstaafu john mroso amesema wanatambua kuwa kuna changamoto kubwa ya masuala ya rushwa na matumizi mabaya ya rasilimali za umma na hivyo wanafanya kila liwezeakanalo kuhakisha kuwa kuna kukuwepo na kizazi ambacho kitakuwa na hofu ya rushwa.
