Nyumbani Tuzo ya Rais ya Tsh milioni 50 kurudishwa byMuungwana Blog 5 -4/02/2017 07:00:00 PM 0 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira January Makamba asema watarejesha tuzo ya Rais ya mazingira (TZS 50m) itakayotolewa kwa atakayepanda miti mingi na kutunza uoto wa asili. Facebook Twitter