Mjomba wa IVAN ( baba) Amuomba Msamaha Zari


Siku chache baada ya aliekiwa mume wa Zari kufariki aliibuka mzee herbet Lunyinda uncle wa IVAN na kujitambulisha kama baba wa ivan huku akisema hawamtambui zari na hausiki na chochote
Lakini leo wakati wa kuaga mwili wa kanisani alimuomba zari msamaha na watu wote.

katika misa hiyo zari alipewa muda wa kutoa speech na kuahidi kuwalea watoto wake vizuri na kuendeleza mali zote na kuhakikisha legacy ya marehemu haipotei

Uncle Apologises
In a twist of events, Semwanga’s uncle Herbert
Luyinda took the opportunity of the requiem
mass to apologise for dividing the deceased’s
family.

Last week, Luyinda told journalists that
Ssemwanga’s children will be taken for DNA
tests to prove they belonged to him, raising dust
among family members.

The deceased’s uncle also claimed Zari doesn’t
have any shares on Ivan’s property accusing her
of leaving their marital home and got married to
another man.

However on Monday, the deceased’s uncle
apologized for the statements he had earlier
made in public.

“I apologise for any mistakes that I made. Let us
stay together, ” Ivan’s uncle said during the
requiem mass at Namirembe cathedral.

The mother of Ivan Semwanga’s children, Zari
Hassan has promised to look after the kids.

Speaking during Semwanga’s Church service at
Namirembe Cathedral, Zari said she is a strong
lady who is willing and ready to take care of her
children.

“I have cried since he was hospitalized. I am now
strong,” Zari said.

“My mother raised me single-handedly and
taught me to be strong. I will do the right thing
for him and the boys.”

Zari, who is now married to Tanzanian singer
Diamond Platnumz said Ivan’s 3 children are her
own blood that she can’t leave to wander in the
world.