Kijana Mdogo wa Kiafrika aushanga Ulimwengu kwa Kugundua Sachi Injini inayoitishia google


Kijana wa Chuo Kikuu cha Ghana Gabriel Opare mwenye Umri wa Miaka 19 uashangaza ulimwengu kwa kugundua Sachi injini ambayo inauwezo unaofafania na Google.

Kijana huyo mdogo Raia wa Ghana ambaye anasomea Shahada ya Pili ya Sosholojia  kwenye chuo hicho amegundua Searchi Ingene hiyo yenye jina la 'Mudclo'