F Lissu afikishwa Mahakamani | Muungwana BLOG
https://c2p.cleverwebserver.com/dashboard/6a0bec4b-79ba-11ef-ad2b-06f0639468d1

Lissu afikishwa Mahakamani



Lissu afikishwa Mahakamani avimba na T-shirt ya Ukuta.

Mwanasheria wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Tundu Lissu afikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Saa 5 kuelekea Saa 6 Mchana.

Lissu alifikishwa Mahakamani hapo baada ya kulala Lumande kwa siku  tatu .

Lissu alipokuwa akishushwa kwenye gari ya maofisa wa Jeshi la Polisi alivua shati ambapo ndani alionekana kuonyesha T-shirt yenye maandishi ya Ukuta