VIDEO: Mbowe amesema hawaogopi Polisi wala Wakuu wa Wilaya

Mara baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu chini ya Hakimu Victoria Nongwa kumuachia Mbunge Halima Mdee kwa Dhamana ya ahadi ya Shilingi 10 Leo Julai 10, Mwenyeki wa CHADEMA Freeman Mbowe amesema wataendelea kuzungumza na kusimamia haki bila kuogopa Polisi na Wakuu wa wilaya.
TAZAMA FULL VIDEO HAPO CHINI

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items