Watu wanane wafariki katika shambuliizi Kaskazini mwa Burundi

Watu wanane wafariki na wengine  zaidi ya 30 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu la kurusha kwa mkono mkoani Kayanza nchini Burundi

Msemaji wa jesh la Polisi nchini Burundi Pierre Nkurikiye amefahamisha kuwa watu wanane wamefariki na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa katika shambulizi lililotekelezwa kwa bomu la kurushwa  kwa mkono Kaskazini mwa Burundi.

Shamulizi hilo limetekelezwa Jumapili majira ya jioni.
Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items