Zimbabwe yatwaa Kombe la Cosafa



Timu ya Taifa ya Soka ya Zimbabwe imetwaa ubingwa wa mashindano ya COSAFA2017 baada ya kuifunga Zambia mabao 3-1



Magoli ya Zimbabwe yalitiwa wavuni na  22' K. Mutizwa, 57' T. Chawapiwa pamoja na 67' O. Mushure

Huku goli moja la Zambia kifungwa na 39' L. Mundia

Mpya zaidi Nzee zaidi

Popular Items